Thursday, December 15, 2011

Rudewa Secondary School Fema Club



Wanachama wa Klab ya Fema ya Shule ya Sekondari ya Rudewa ambayo iko katika Wilaya ya Kilosa. Wao wanaamini kwamba kijana akiitambua nafasi yake katika jamii ni chachu tosha ya kutekeleza malengo ya maendeleo ya milenia. Wewe unaonaje hiyo? Imesimama eeeh?

Thursday, June 9, 2011

Kibasila Fema Club in their upcoming school magazine project

Photo by upcoming photographer, Mkami Kisyeli, which he hopes will make it in the school magazine. See more photos by clicking "read more" below

Ruka Juu yapata mshindi



Idrisa Mannah (aliyevaa suti), akikabidhiwa mshiko wake kwa ushindi wa Ruka Juu!

Songea boys fema club


Friday, January 21, 2011

The Making of Ruka Juu




Kuanzia Machi 2011 kwa wiki 11 mfulilizo. Kila wiki saa moja ya kuburudika, kujifunza na ku’feel ‘ maisha halisi ya washiriki. Ni shindano la wajasiriamali wachanga kutoka pande tofauti za Tanzania. Ni Ruka Juu na Fema TV Talk Show, katika vituo vya ITV na TBC1. Kuwa mmoja wa Watanzania milioni 3.4 wanaotarajiwa kuliangalia kila wiki! Ruka Juu , shindano la wa jasiriama li katika runi n ga . Jiu nge nasi na washiri ki 6 amba po wa tashindana kup ata shi lingi milioni 5 kwa ajili ya kuwek eza k wenye bia shara za o. On esho lim eja a sh angwe n a matukio kibao ya ku shtukiza! Usikose! IT V Jum amosi 12 : 30 – 1:30 Jioni TBC1 Jumap ili 3:00 – 4:00 Usiku